Kaimu
 Mnyikulu ambaye pia ni Naibu Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike 
akimkabidhi funguo na nyaraka Bw. Thomas Kone (35) kwa ajili ya Bajaji 
mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. 
John Pombe Magufuli baada ya kumuona katika TBC1 akiwa anatafuta msaada 
wa usafiri ili aweze kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto 
wawili. Rais aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na
 ulemavu wake ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi.
Bw. Thomas Kone akipanda kwenye bajaji aliyokabidhiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Naibu
 Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akisalimiana na Bw. Thomas Kone 
alipokwenda Kumkabidhi Bajaji kwa Niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli
 



 
Post a Comment Blogger Facebook