Hitmaker huyo wa Kidogo amesema hayo wakati akijibu swali la shabiki kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “WCB hamjafikiria kusaini msanii nje ya Tanzania au mtafanya?”
Diamond alijibu swali hilo kwa kuandika, “Soon.”
Aidha muimbaji huyo amesema kuwa kolabo za wasanii wake wa WCB ambazo wamefanya na wasanii wa nje zipo tayari.
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.