Katika ufafanuzi wake amesema CUF wametoka kwanza wajadiliane maoni waliyoyapokea kutoka kwa wanachama wao wakiafikiana watarudi na kujiunga na UKAWA
Hayo yanatokea wakati tunaambiwa muda wowote UKAWA watamtangaza mgombea na kutoa nini wamekubaliana. Tusubiri tuone maana hali hiyo siyo njema na haitoi ishara njema kwa upinzani nchini
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.