Thursday, September 15, 2016

Mourinho atoa sababu ya kumwacha Rooney katika safari ya Uholanzi

Nahodha wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney hajajumuishwa katika kikosi kilichosafiri kwenda Uholanzi kwa ajili ya mechi ya Europa ligi dhidi ya Feyenoord.
3857b22700000578-0-image-a-1_1473867857086
Jose Mourinho akiongea na waandishi wa habari amesema haya kuhusu Wayne Rooney
“Amecheza kila mechi tangu kuanza kwa msimu huu na amecheza dakika 90 katika timu ya Taifa ya England. Ninataka awe vizuri kwa ajili ya mechi zijazo . Anacheza katika eneo la ushambuliaji ambapo nina machaguo mengi.”
Wachezaji 20 ambao wameenda Uholanzi ni De Gea,Romero, Johnstone, Darmian,Bailly,Blind,Mensah,Rojo,Smalling,Carrick,Fellain,Herrera,Mata,Memphis,Pogba,Schneiderlin,Young,Ibra

No comments:

Post a Comment

Post Labels

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();