0

Mayasa Mariwata
Staa wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo, Sarah Mvungi amefunguka juu ya mwimbaji mwenzake, Rose Muhando kutaka kuhama Ukristo na kurudi kwenye Uislam

Rose1Akibonga na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Sarah alistaajabu kauli ya Rose kuwa tangu amekuwa Mkristo amekuwa akiandamwa na misukosuko mingi kiasi cha kukata tamaa na kutamani kurejea kwenye dini yake ya awali ya Uislam.
 “Rose hajielewi, anapaswa kumlilia Mungu ili amuepushe na yanayomsibu (tuhuma za utapeli). Kuhamahama dini ni sawa na kumchezea Mungu au pengine neno halikumuiingia vizuri,” alisema Sarah. Jitihada za kumpata Rose ili kuzungumzia ishu hiyo zikigonga mwamba.

Post a Comment Blogger

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
 
Top