0
ILIPOISHIA..…….
Kilichofuata hapo tulibebana mpaka kwenye kochi ambapo nilimlaza enjol kifudi fudi na kuichomeka mashine yangu kwenye kitumbua chake hapo moto uliwaka upya tena kilichosikikika hapo ni kelele zisizokuwa na mipaka , kama ingelikuwa ni kule uswazi kwetu basi majirani wenge jaa nje wa subiri kuwaona waliokuwa wakicheza mechi hiyo watakapotoka nje.
Baada ya kupata uroda huo tulienda zetu kuoga na kisha tukajipigilia viwalo , na kisha kuingia katika mkoko tulitoka zetu kwenda kupata chakula cha jioni Nyumbani lounge, huku tulisikiliza muziki mwanana toka kwa mwana dada lady Jay dee.
MUENDELEZO WAKE
Tulikuwa tumekaa kwenye meza ya pekeyetu, tukifurahia chakula kitamu kilichopikwa na wapishi waliobobea katika taaluma ya upishi.
Kama kawaida yetu mimi na jimama Enjol huwa hatuna mipaka katika mapenzi yetu hatukujali  watu waliokuwepo hapo , tulilishana na kucheza miichezo ya kimapenzi kwa raha zetu.
“Enjol , jamani!”
Nilisikia sauti hiyo toka kwa mwanamama mmoja aliyekuja kwenye meza yetu huku akijichekesha kwa furaha.
“Woo, Fridah!!, wao !!”
Aliongea jimama Enjol mara baada ya kugongana uso kwa uso na macho ya mwanamama huyo.
Aliamka na kwenda kumkumbatia kwa furaha ,
Mimi nilikuwa nimeketi nikiwaangalia mashosti hao pale walipokumbatiana , nilijikuta nimeduwaa huku macho yakinitoka . pale Fridah  alipomkumbatia Enjol , alinifanya nimuone alivyokuwa ameumbika kwa nyuma, tako lake lilikuwa limekatika na kujigawa kati kati , mpaka kukifanya kigauni chepesi alichokuwa amekivaa kuingia kati kati ya matako hayo utafikiri hajavaa chupi, japo kwa juu niliuona mkanda wa chupi uliokuwa ukilichora tako hilo nakuonekana jinsi lilivyo.
Naamini hakuna mwanaume katika dunia hii ambaye angevumilia kuigeuza shingo yake pembeni mwanamke huyo akiwa anapita mbele yake. Na jinsi alivyokuwa akiruka ruka kumkumbatia Enjol basi ndio mama mama!, nawambia ukweli jamani sijawahi kuona  matako yakitikisika kwa namna ambayo matako ya Fridah yalitikisika.
Nilishindwa kuizuia mashine yangu ilivyokuwa ikinyanyua suluari yangu , na kuwa ngumu ghafla.  Utafikiri sio yenyewe iliyokuwa ikiyala matako ya Enjol muda mfupi uliopita.
“umejuaje kwamba nipo hapa jamani.”
“hata sikujua , nilikuwa nimekaa zangu na mr pale nikakuona ukiwa umejiachia mwenyewe.”
“Mwenzangu.”
Enjol aliongea kisha wote walicheka na kugonganisha mikono yao.
“ Ngoja nikutambulishe kwa shemeji yako , maana kila siku nikikwambia uje nyumbani unakuwa bize na hivyo vikao vyako.”
Fridah hakujibu kitu zaidi ya kucheka.
“Alex, huyu ni shosti wangu , anaitwa Fridah, fridah na huyu ndio mpenzi wangu, mahabuba , mwandani.”
Aliongea Enjol na kisha Fridah , alicheka .
“nafurahi kukufahamu Fridah “
Niliongea huku nikimpa mkono.
“hata mimi nafurahi Alex , maanake imekuwa kama bahati tu kila siku nakusikia sikia tu, huyu mwenzio yani kila wakati ooh, alex , sijui nini alex wangu mimi , yani balaa tupu.”
Aliongea Fridah na kisha wote walicheka.
“Kwa nini tusijumuike pamoja?”
Nilimuuliza .
“kweli hata mimi nilikuwa nafikiria hilo hilo, nimemuacha Mr pale ngoja nikamfuate.”
Aliongea  Fridah na kisha kuelekea sehemu alipotuelekeza sisi tuliketi na kuendelea kula msosi wetu tukiwasubiri.
Walikuja wakiwa wameshikilia vinywaji vyao mkononi.
“karani jamani wao!”
Aliongea jimama enjol na kisha kwenda kumkumbatia mwanaume huyo.
Alikuwa amejiachia bila kuhofia chochote na mimi wala sikutaka kuliona jambo hilo kama kitu cha ajabu.
“Alex ,huyu ni shemeji wangu wa nguvu anaitwa Karani, Karani kutana na mwandani wangu Alex.”
Aliongea jimama Enjol , huku bado akiwa amemkumbatia mwanaume huyo kwa upande upande niliamka toka kwenye kiti ili kupeana mkono na mwanume huyo ili tufahamiane vizuri , nilipoiona sura yake nilishtuka , kusema kweli haikuwa ngeni machoni pangu , nilijaribu kuvuta picha wapi nilipomuona lakini sikuweza kugundua.
‘subiri, kwanza , utafikiri ninakufahamu toka sehemu Fulani?”
Nilimuuliza Karani huku nikimuangalia vizuri , tukiwa bado tumeshikana mikono.
“sehemu gani labd ?”
Karani aliniuliza ,
 “sijui wapi lakini nashindwa kuvuta picha, lakini nina uhakika nina kufahamu kutokea sehemu Fulani.”
“ngoja nikukumbushe .”
“jaribu.”
“MAZIWA.”
Aliongea Karani kwa sauti .
Na hapo kweli kitu kama kengele kililia kichwani kwangu.
“uko sahihi kabisa wewe , ndio Yule jamaa aliyekuwa akiuza maziwa mtaani miaka minne, mitano iliyopita nilijua kwamba nilikuwa sahihi.”
Nilongea nikiwa na uhakika kabisa kwani picha ya karani akiwa na ndoo yake ya maziwa ilikuja ghafla kichwani mwangu.
“uko sahihi kabisa.”
“dah, aisee, kweli bwana,  nilipotoka shule nikakuta habari ya maziwa haipo tena mtaani , nilipouliza watu wakasema ni kama vile ulipotea , unajua hajawahi kutokea Muuza maziwa tangu wewe uache.”
“kweli!”
“eeh!, alafu nina kesi na wewe.”
Niliongea huku nikimnong’oneza
“kesi gani tena “
“nilisikia ulimkaza dada yangu.”
Niliongea kwa kunong’ona.”
“oh, pole , nilikaza wengi mtaa ule , bora wewe nilikukazia dada, kuna watu niliwakazia hadi mama zao.”
Aliongea karani kwa kung’ona  pia , Fridah na Enjol wala hawakusikia tulichokuwa tunaongea , yalikuwa ni maongezi ya wanaume kwa wanaume huku nao wakipiga stori zao za mambo yao ya kikazi.
“lakini hata hivyo nakukubali brother, hadi hapa ulipofika wewe kiboko.”
Nilimsifia .
“afadhari mimi , wewe ndio moto wa kuotea mbali, ulivyo mdogo hivyo unamiliki reseni kubwa kiasi hicho , huwezi kuamini nikikuambia nilichokuwa nikikifanya nilipokuwa na umri kama wako.”
“Nini?”
“nilikuwa nakata nyasi za ng’ombe kijijini hatari, lakini hata hivyo nilikuwa soo.”
“weee.”
“embu fikiria mkata nyasi kuwakaza watoto wa hosteli.”
‘duh, kweli ulikuwa kiboko.”
tuliongea huku tukicheka, kwa muda huo mfupi  tulijikuta tukiwa kama marafiki tulio shibana.

Hadi wanawake zetu walitushangaa.
ITAENDELEA...

Post a Comment Blogger

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
 
Top