0
ILIPOISHIA…..
“vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?”
Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika.
Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kuibusu midomo yake.
Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba.
“Twende ndani basi”
Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu.

MUENDELEZO WAKE ;

“Ni huku”
Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe.
Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake.
“Aaaa, assii, muuza maziwa!”
Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba.
“Aaaa, assii!”
Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu.
“Utani_uua wee muu…”
Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa.
“Anza basiiiii…”
“Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake”
Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network.
Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa.
“Oh, honey anza basi sweety”
Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu.
“Auuh, Asii, Muuza maz….”
Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa.
“Auuh, Taratibu basiiiiii!”
Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
“Ngo, ngo, ngo”
Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana.
Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha .
Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe?
Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa.
“Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?”
Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa .
“ngo, ngo , ngo”
Ilisikika tena hodi ya mlango..
Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango.
Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja.
“fyouz”
Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo.
Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo.
Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake.
“Si bora ingekuwa kweli tu, ah”
Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli.
“Ngo!, ngo!, Ngo!”
Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango.
“watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii”
Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho .
Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo.
“Nani wewe?”
Aliuliza kwa hasira.
“Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?”
Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa.
Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena.

inaendelea... giftkipapa.com

Post a Comment Blogger

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
 
Top