“Kabla ya kuanza huu muziki nishauza maji, nshauza mamantilie, nishakuwa fundi makenika,” Barnaba alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times kinachoendeshwa na Lil Ommy hivi karibuni.
“Nishaitiwa mwizi, nshauza siso, nshauza vyuma, nshakuwa fundi umeme, nshakuwa fundi nyumba,” aliongeza.
Alidai kuwa kuna wakati alikuwa akilala kwenye makuti katika kibanda kilichokuwa nje ya studio ya dada aitwaye Nzela baada ya kufukuzwa THT.
Msikilize hapo chini.
No comments:
Post a Comment