
Akizungumza
na wananchi wa Manyoni mkoani Singida Rais Magufuli alizungumzia kuhusu
wabunge wa upinzani kususia bunge kwa kujiziba midomo na makaratasi
Alisema
wabunge hao wa upinzani waliamua kususia bunge kwa sababu kilichokuwa
kikijadiliwa ndani ya bunge ni mahakama ya mafisadi na wao (wapinzani)
ni sehemu ya mafisadi .
"Hawakuingia
kwenye bunge kwa sababu walijua ni part ya hao mafisadi, nataka nieleze
hawatapenya mbele ya serikali yangu, mafisadi lazima wanyooke" Alisema Rais Magufuli
Post a Comment Blogger Facebook