Monday, July 27, 2015

Raheem Sterling ang'ara atupia mbili dhidi ya vietnam

Raheem Sterling: Scored twice as City brushed Vietnam asidemshambuliaji mpya wa klabu ya manchester city ameanza vizuri kuitumikia timu hiyo baada ya kufunga gori mbili na kuiwezesha timu yake kupata ushindi mnono wa gori 8-1
klabu ya manchester city ilifanikiwa kupata gori nne kipindi cha kwanza na kupata gori nyingine nne kwenye kipindi cha pili
 Aleksandar Kolarov na  David Silva nao wamefunga gori mbili Marcos Lopes na Jose Pozo wakakamilisha ushindi huo. Gori la vietnam limefungwa na an Queyet

No comments:

Post a Comment

Post Labels

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();