ZOTEHAPA BLOG

Wednesday, February 3, 2016

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana


 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Posted by Unknown at 4:55:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: KITAIFA

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Post Labels

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
.disqus.com/recent_comments_widget.js?num_items=4&avatar_size=32&excerpt_length=100&hide_mods=0">

Labels

Breaking News

Main Menu

Top Menu

Contact us

Name

Email *

Message *

twitter

Tweets by @zotehapa1

facebook

Zotehapa1

mapenzi na simulizi

Popular Posts

  • Jinsi punyeto inavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume
    Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  ...
  • Umuhimu wa Kuhonga Katika Mapenzi...
    1. KUHONGA HUBORESHA MAPENZI: Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako unamfanya ajihisi kama ni wapekee kwako, atajiona kama ni mmoja wapo...
  • CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1
    CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1 MTUNZI: ELIADO TARIMO AGE: 18+ Chriss ni kifupi cha jina Christopher jina nililopewa na mama ...
  • Picha: Mazoezi ya Zari kwenye gym ya Diamond yawashtua mashabiki, waogopa kuuharibu ujauzito
    Zari the Bosslady hataki kutumia ukubwa wa ujauzito wake kukwepa mazoezi. Mama kijacho akiwa kwenye gym iliyopo kwenye ikulu ya mchumba wa...
  • Yanbian v Shanghai SIPG
    Baada ya kupata matokeo mabovu juma lililopita dhidi ya changchun Yatai. Na kukosa nafasi ya kuongoza ligi kuu ya China. Juma hili wanaing...
  • Kitanda cha mama mwenyenyumba sehemu ya 2
    “Kwa hiyo akinikuta saa hizi humu ndani kwake si ataniua?” “ Hawezi, ingawa ana bastola…” “Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana bastola....
  • Serikali yabariki wenye jinsia mbili kuchunguzwa
    Mamlaka  ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali itakuwa na uwezo na mamlaka ya kuchunguza watu waliozaliwa na jinsi mbili na kubaini ji...
  • Irene Uwoya Yupo Hatarini Sana Kupoteza Ubunge Viti Maalum
    Muigizaji wa bongo movies Irene Uwoya aliyejiunga na ccm na kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum tabora yupo hatarini kupoteza cheo ...
  • Polisi Kutoa tamko CCM Kuzidisha muda wa Kampeni
    Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema kuwa litatoa tamko la jeshi hilo juu ya Chama cha Mapinduzi kuzidisha muda wakati wa Uzinduzi w...
  • Juma Nature: Sifanyi collabo na Diamond mpaka..
    Rapper mkongwe, Juma Nature amedai kuwa hawezi kufanya wimbo na Diamond mpaka pale dhamira yake ya kushindana naye jukwaani itakapo timia....

About us

ads

youtube

ads

UDAKU

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.