Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest
ZOTEHAPA BLOG

ZOTEHAPA BLOG

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • UDAKU
  • BIASHARA
  • MAPENZI
  • SIMULIZI
  • UREMBO
  • MICHEZO
  • BETTING
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 4:55:00 AM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Posted by Unknown
Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
.disqus.com/recent_comments_widget.js?num_items=4&avatar_size=32&excerpt_length=100&hide_mods=0">
  • Populars
  • Comments
  • Archive

twitter

Tweets by @zotehapa1

facebook

Zotehapa1

mapenzi na simulizi

Popular Posts

  • ujumbe wa basti schweinsteiger kwa mashabiki wa united
    Bastian Schweinsteiger amesisitiza kwamba bado ana furaha kuishi jijini Manchester licha ya kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu hiyo na...
  • CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1
    CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1 MTUNZI: ELIADO TARIMO AGE: 18+ Chriss ni kifupi cha jina Christopher jina nililopewa na mama ...
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 09)
    ILIPOISHIA..……. Aliingia chumbani na kisha kutoka na miwani myeusi. Kweli niliiona kwenye meza ya kioo lakini sikujua kwamba imewekwa kwa...
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 12)
    ILIPOISHIA..……. Nilitembea huku nikiwa na hamu kubwa ya kumkamata motto Aisha ile kiuakika, tayari nilikwisha uonja utamu wa mauono ...
  • JiMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 11)
    ILIPOISHIA..……. Tayari kitumbua hicho kilikuwa kimesha lainika, kama ningekuwa na ukame wa kufa mtu ningeweza kuunga moja kwa moja kw...
  • NYUMBA YA LADY JAY DEE KUPIGWA MNADA
    Baada ya Judith Wambura Habash kushindwa kulipa mkopo aliokopa,nyumba yake iliyopo Mivumoni,Kinondoni imewekwa sokoni kwa ajili ya kupig...
  • Kanisa Katoliki Laja na Mpya..Sasa Kama Upo Kwenye Ndoa Unaweza Mpa Mwenzako Talaka..Kama Wafanyavyo Waislam
    KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao...
  • Bi Harusi Apandisha Mashetani Kanisani!
    Chande Abdallah na Deogratius Mongela Mshtuko! Bi harusi Agnes Omari (26) amezua kizaazaa baada ya kudaiwa kupandisha mashetani kanisani w...
  • video Joh Makini ft Chidinma - Perfect Combo Official Music Video
    cheki kibao ya joh makini kinachotamba kwenye anga za kimataifa
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 13)
    ILIPOISHIA..……. Nilitembea huku nikiwa na hamu kubwa ya kumkamata motto Aisha ile kiuakika, tayari nilikwisha uonja utamu wa mauono yake pa...
 

About us

ZOTEHAPA BLOG © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top