Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest
ZOTEHAPA BLOG

ZOTEHAPA BLOG

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • UDAKU
  • BIASHARA
  • MAPENZI
  • SIMULIZI
  • UREMBO
  • MICHEZO
  • BETTING
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 4:55:00 AM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Posted by Unknown
Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
.disqus.com/recent_comments_widget.js?num_items=4&avatar_size=32&excerpt_length=100&hide_mods=0">
  • Populars
  • Comments
  • Archive

twitter

Tweets by @zotehapa1

facebook

Zotehapa1

mapenzi na simulizi

Popular Posts

  • Umuhimu wa Kuhonga Katika Mapenzi...
    1. KUHONGA HUBORESHA MAPENZI: Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako unamfanya ajihisi kama ni wapekee kwako, atajiona kama ni mmoja wapo...
  • CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1
    CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1 MTUNZI: ELIADO TARIMO AGE: 18+ Chriss ni kifupi cha jina Christopher jina nililopewa na mama ...
  • Nafasi za kazi zilizotangazwa Leo kwenye magazeti na mitandaoni
    Vacancies at Precision Air Ltd , Tembelea  www.ajirayako.com  share with a friend Job vacancies at Hivos, Tembelea   www.ajira...
  • Revised decision on minimum admission entry qualification for undergraduate students
    RE: REVISED DECISION ON MINIMUM ADMISSION ENTRY QUALIFICATIONS FOR UNDERGRADUATE STUDENTS The Tanzania Commission for Univers...
  • Jinsi punyeto inavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume
    Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  ...
  • Chombezo;DUDU WASHA sehemu ya kwanza
    Ni mwalimu mkuu wa kike katika shule ya msingi Tundu aliyefahamika kwa jina la Walda Nyaongo,,shuleni hapo alikuwa akiwafundisha so...
  • Viongozi Mbalimbali wa Chadema Waendelea Kutiwa Mbaroni Kwa Uchochezi
    Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya maandamano yanayodaiwa yatafanywa na Chadema, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amekuwa kiongozi ...
  • Katy Perry - Rise
  • Familia yamfanya ndondocha mtoto wao
    Kijana Fred Bryson Mmari anayedaiwa kufanywa ndondocha na familia yake. KILIMANJARO: Kha! Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Brys...
 

About us

ZOTEHAPA BLOG © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top