Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest
ZOTEHAPA BLOG

ZOTEHAPA BLOG

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • UDAKU
  • BIASHARA
  • MAPENZI
  • SIMULIZI
  • UREMBO
  • MICHEZO
  • BETTING
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 4:55:00 AM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Posted by Unknown
Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
.disqus.com/recent_comments_widget.js?num_items=4&avatar_size=32&excerpt_length=100&hide_mods=0">
  • Populars
  • Comments
  • Archive

twitter

Tweets by @zotehapa1

facebook

Zotehapa1

mapenzi na simulizi

Popular Posts

  • Chombezo;DUDU WASHA sehemu ya kwanza
    Ni mwalimu mkuu wa kike katika shule ya msingi Tundu aliyefahamika kwa jina la Walda Nyaongo,,shuleni hapo alikuwa akiwafundisha so...
  • CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1
    CHOMBEZO: UTAMU WA BIANAMU SEHEMU YA 1 MTUNZI: ELIADO TARIMO AGE: 18+ Chriss ni kifupi cha jina Christopher jina nililopewa na mama ...
  • NILIPOONJA UTAMU WA VANILA -14
    NILIPOONJA UTAMU WA VANILA -14 nikiwa seburen kwa maadam recho nilisikia sauti ikitoka bafun huku ikiniita "davie davie njoo unisai...
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 6)
    ILIPOISHIA..……. Mlinzi alinifungulia geti na nilipotoka nje nilikuta dereva taxi ametoka nje ya gari aliponiona alinifungulia mlango nika...
  • NILIPOONJA UTAMU WA VANILA -15
    NILIPOONJA UTAMU WA VANILA -15 maadam recho alikimbia mpaka chooni huku akiniacha mm kitandani hali ili ilinishitua ikabidi nimfute kwa ...
  • NILIPOONJA UTAMU WA VANILA - 13
    NILIPOONJA UTAMU WA VANILA - 13 Tukiwa mtoni mm na judith huku akiwa amenikombatia na kunipa mabusu mara kidogo akatokea MARRY yule monit...
  • Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto
    Sumbawanga. Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameendelea kumwaga ahadi mikoa ya Katavi na Rukwa na kuahidi kuwa iwapo atach...
  • HII TOPIC ILIWEKWA JAMII FORUM NA KUFUTWA NA ILIKUWA IKIHUSIANA NA TEAM LOWASSA sijui ni kwanini ilifutwa
    Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa Wadau, amani iwe kwenu. Wakati CCM wakianza vikao vya ndani vya mchujo wa wagombea...
  • UCHAKAVU WA MAJENGO YA SHULE TISHIO KWA WANAFUNZI
    Jengo la shule ya msingi Donyonaado Na Woinde Shizza,Monduli Wakati shule nyingi nchini zinafunguliwa baada kumalizika kwa likizo Wana...
  • MAMA SAMIA KATIKA UBORA WAKE KATIKA MAJIMBO YA MONDULI NA LONGIDO MKOANI ARUSHA
     Wananchi wakiwa wamejawa hamasa kwa nyimbo na nderemo wakati Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassam, alip...
 

About us

ZOTEHAPA BLOG © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top