Zaidi ya watu kumi na tano wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa hawajulikani walipo.
Mmomonyoko wa udongo ulisababishwa na kimbunga ambacho kilifukia migodi mitatu kaskazini mwa kisiwa cha Luzon.Kimbunga Goni kwa sasa kimepungua kasi na kinaelekea Japan katika kisiwa cha Ryukyu
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.