Saturday, July 4, 2015
NYUMBA YA LADY JAY DEE KUPIGWA MNADA
Baada ya Judith Wambura Habash kushindwa kulipa mkopo aliokopa,nyumba yake iliyopo Mivumoni,Kinondoni imewekwa sokoni kwa ajili ya kupigwa mnada.
Mtakumbuka kuwa sasa hata Bar yake ya M.O.G imefungwa muda sasa.
Tumuombee Anaconda maana anapita kwenye wakati mgumu sana sasa hivi
source Chachu Ombara/Jamii Forums
Labels:
udaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Labels
';
(function() {
var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true;
dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js';
(document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq);
})();
.disqus.com/recent_comments_widget.js?num_items=4&avatar_size=32&excerpt_length=100&hide_mods=0">

No comments:
Post a Comment