0
ILIPOISHIA..…….

“hakuna nati iliyolegea hapa.”
Niliwaza na kujikuta naiachia koreo idondoke , japo ilipiga kelele pale ilipofika chini lakini hakuna yoyote kati yetu aliye izingatia.

Safari hii haikuwa ndoto wala mawazo bali kitu cha kweli kabisa.
Nilimsogelea Enjol taratibu na kuigusa ngozi yake kwa mara ya kwanza nikiwa na mshawasha mwilini mwangu .
‘mmmh’ , hapo msisimko wangu ulizidi kupanda , nikamkumbatia huku nikiyatomasa maungo yake taratibu.
“aaaaasssssssssiiiiii!!!!”
Enjol alilalama kimahaba pale nilipouingiza ulimi wangu katika sikio lake
Na kuuchezesha chezesha na kisha kulinyonya sikio hilo kwa uchu kama vile limepakwa asali.
“mmmh, asiiii.”
Alizidi kulalama Enjol huku nikiendelea kuyatomasa maungo yake na kumnyonya , kusema kweli Enjol alikuwa mtamu kumnyonya kila kitu kila nilipomnyoonya nilijikuta nappata mzuka zaidi na zaidi , kwakweli utamu wa jimama hili ulikuwa si wa kuelezeka.
“mmmmhhh, assssiiiii”
Enjol alizidi kulalama kimahaba pale nilipoupitisha ulimi wangu kwenye shingo yake, nilikuwa nikiuchezesha taratibu kama vile nyoka anavyouchezesha ulimi wake akiwa mawindoni , huku ubaridi wa mate yaliyokuwa yakililowesha shingo lake yakimfanya jimama Enjol azidi kupata msisimko wa aina yake.
Niliyasogeza meno yangu na kuishika ngozi yake kama vile ninaing’ata , alafu nikaiachia na kuinyonya shingo hiyo taratibu , hapo Enjol alikuwa kama vile anawehuka kwa jinsi utamu ulivyokuwa ukimkolea .
Khanga yake ilidondoka chini , hapo sasa ilikuwa nusu niwehuke.
Kwani nilichokiona kwa wakati huo kilikuwa juu ya uwezo wangu. Uzuri wote ule wa Enjol niliokuwa nikiuvutia picha sasa niliuona moja kwa moja bila chenga .
Mapaja yake na mahipsi yaliyokuwa yamejengeka mithili ya zile hipsi za mwana dada Rah P au Whitness wa wakilisha. Kiuno chake cha nyigu na kitovu kilichokuwa na mvuto wa aina yake , lakini yote hayo tisa kumi ni ile inye plus gwede gwede, yani hapa utafikiri iliongezeka na kuwa inye plus plus square gwede gwede.
Nilichotamani kwa wakati huo ni kuyashika matako hayo na kuyatikisa tikisa , na kweli hicho ndicho nilicho kifanya . nilisimama mbele yake na kupiga magoti kama vile na msujudia .
Kisha nikaanz a kunyonya kitovu chake huku nikiwa nimeyashika matako yake kwa mikono yangu yote miwili niliyatikisa na kuyaminya minya kwa staili ambayo niliona ilinivutia.
“aaaasssssi, mmmmmmh , aaaaaiiiiiiHHH!’
Enjol alilalama kwa utamu aliioupata hapo , kwani sikua nakinyonya kitovu chake ili mradi tu, bali kwa staili ambayo ilikuwa ikimsisimua kwa hisia na kumfanya ashindwe kusimama vizuri .
Alinishikilia kichwa changu huku akikigandamiza kiendelee kunyonya kitovu hicho na mimi wala hata sikuacha niliendelea kuuchezesha ulimi wangu huku nikiendelea kuyaminya minya matako yake .
Niliushusha ulimi wangu taratibu kwa kuuterezesha , hapo nikakutana na kagadeni love ka kiaina , nikakalowesha kote kwa ulimi wangu.
Enjol hapo alipiga kelele kama vile mwenda wazimu, ilikuwa kama vile nimemgusa sehemu gani sijui, sikuelewaa kwanini kabustani hako kalimfanya asisimke hivyo na wala sikutaka kujua bali niliendelea kukakalowesha na hapo kilio cha mahaba kilizidi kuongezeka , na mimi niliendelea kuuchezesha ulimi wangu hapo , huku yeye akiwa amenishikila kichwa na huku akilitaja jina langu na kunitaka niendelee kumlamba .
“aaaaasssssss, aaaaaaaiiiiiii, nakupenda , aleeeeee……”
Alizidi kulalama kimahaba nikiwa bado kwenye kabustani hako .
Niliushusha ulimi wangu chini zaidi na kukutana kitumbua chake, kwanza nilijaribu kuigusisha ncha ya ulimi wangu kwenye kisimi chake, siwezi hata kuelezea kelele ambazo Enjol alizitoa , ilikuwa kama vile hicho ndicho kitu alichokiuwa akikisubiri kwa hamu zaidi .
Niliuchomoa ulimi wangu na hapo Enjol alikishika kichwa changu na kunisihi niurudishe tena , kisimi chake kilikuwa kime simama dede huku kikitetemeka , nilipoyainua macho yangu kumuangalia enjol usoni nilikumbana na chozi lake lililodondoka.
“naomba usiache please.”
Aliongea kwa sauti hiyo iliyokuwa nyororo na ya kimahaba haswa mguu wake mmoja alikuwa ameunyanyua na kuuweka juu ya kitanda.
Sikutaka kumkosesha utamu mrembo huyu nilisogeza kichwa changu taratibu huku ulimi wangu nikiuchezesha toka mbali hata kabla sijakifikia kisimi hicho, Enjol aliyafumba macho yake kwa hisia akisuburi utamu huo kwa hamu huku nikikishuudia kisimi chake kikicheza cheza hata kabla sijakifikia.
Ulimi wangu ulipokigusa tu kisimi hicho ilikuwa kama vile hasi na chanya zimekutana Enjol alipiga kelele kama vile mwenda wazimu , safari hii nahisi mtaa mzima waliiisikia sauti yake kwani hata masikio yangu nilihisi kama vile yananiuma.
Alikishika kichwa changu na kukigandamiza hasa huku akikikuna kuna nywele .
Na mimi hata sikufanya ajizi nilikuwa nikiuchezesha ulimi wangu haswa .
Enjol alizidi kupagwa huku akilitaja jina langu mfululizo akidai ananipenda na kamwe hawezi kuniacha.
Mimi sikujalli kelele hizo kazi yangu ilikuwa moja tu kuuchezesha ulimi wangu nilikuwa nikizungusha kisimi chake kwa ulimi wangu kama vile mwiko unavyozungusha ugali katika sufulia , huku mikono yangu ikiendelea kuyaminya minya matako yake .
Alizidi kupagawa kama vile mwenda wazimu huku akijaribu kukizungusha kiuno kufuatiza ulimi wangu jinsi ulivyokuwa ukizunguka.
Alizidi kulia kwa utamu huku akizidi kukichezea kichwa changu, alitamani sijui anifanye nini kwa jinsi nilivyokuwa nikimpa radha hiyo bila kukoma.
Kwani alilia vilo vyote alivyovijua yeye, na kuniita kila jina ambalo alifikiri lingenipendeza na kunichochea nizidi kumpakulia madude lakini bado akuridhika , bado alifikiri nahitaji kitu Fulani zaidi kwani nilikuwa nikimpa mambo ambayo kwa hakika hiyo ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kuyapata .
Hadi wakati huo tayari alikuwa amekwisha fika mshindo nara tano na wala mtu mzima nilikuwa bado sijaanza makamuzi.
Safari hii alishindwa kabisa kusimama ilimbidi ashikilie nguzo ya kitanda.
Huku mimi nikiendelea kukinyonya kitumbua chake ile ile. Wakati mwingine nilikivuta kisimi kama vile naondoka nacho na kisha nikakiachia kipumue kwa sekunde kadhaa , alafu mzigo uliendelea.
“Aalee-ee-eee-eeee-eexxxxx
Aliniita kwa suti ya kukata kata huku akihema kimahaba, huku mimi nikiendelea kumkamia.
Tulisogea mpaka kitandani , kisha Enjol alilala chali.
Nilianza kusalula viwalo vyangu kimoja baada ya kingine, huku kila kimoja nikikitupa kwake , shati huku suluari kule chupi ndo sijui wapi nafikiri niliidondosha chini.
Kisha nikamsogelea Enjol nikiwa uchi kama yeye alivyokuwa , nikapanda juu yake na kuanza kuibusu midomo yake.
“mmmmmh”
Aliguna kimahaba huku mikono yake akiitumia kunipapasa sehemu mbali mbali za maungo yangu.
“uuuh!”
Alishtuka kidogo mara baada ya kuishika mashine yangu, ilikuwa imejikaza na kuwa ngumu kweli kweli.
Alianza kuipapasa kwa mikono yake laini mithiri ya sufi. Kwa jinsi alivyo isugua mashine hiyo alinifanya nijisikie traha moja ya ajabu, joto joto la mikono yake ndio lilizidi kunifanya nijihisi niko ulimwengu mwingine kabisa , akainuka na kisha kuinua kichwa chake na kuusogeza mdomo wake jirani na mashine yangu na hapo akaanza kuinyonya .
“mmmh”
Niliguna , huku nikiishuudia network katika kichwa changu ikipotea taratibu, kwa jinsi alivyokuwa akiinyonya mashine yangu alikuwa akinipagawisha kweli kweli, nilihisi kama dunia yote ni yangu.
Hata Yule demu wa Kitanga niliyekutana naye kwenye shoo ya Dr. john na wimbo wake wa goma la kitanga alikuwa haoni ndani.
Yule alikuwa akinyonya kwa kusukutua huku akigusisha kichwa cha mashine yangu kwenye hereni aliyoitoga kwenye ulimi wake.
Lakini jimama Enjol staili yake ilikuwa tofauti, yeye alilamba taratibu huku akienda sambamba na mdundo wa wimbo wa ‘alamba , alamba hamu , hamu.’

Itaendeleaaaa…..

source giftkipapa.com

Post a Comment Blogger

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
 
Top