Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema
mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia
nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi Lowasa ndo raisi, siku wanafika
Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA ...Yakawafika
Hapaaaaaa.........!!!Utabiri wa TB Joshua Uko Palepale Uchaguzi 2015
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema
mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia
nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi Lowasa ndo raisi, siku wanafika
Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA ...Yakawafika
Hapaaaaaa.........!!!
Post a Comment Blogger Facebook