
Lionel Messi alifunga mara mbili na kuifanya Barca kuongoza kwa goli 2-1 kabla ya Rafinha na Luis Suarez kufumania nyavu na hivyo matokeo kuwa 4-1. Mabao ya Jose Antonio Reyes,Kevin Gameiro na Yevhen Konoplyanka yaliufanya mchezo huo kwenda dakika 30 za nyongeza kabla ya Pedro kuifungia Barca goli la ushindi.
Haya ni mafanikio makubwa kwa Barcelona tokea mwaka 2011 baada ya kushinda mataji matano mfululizo na kuwa sawa na klabu ya AC Milan ya Italia yenye rekodi sawa na hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.