
"Ati Kundi la vibaka latikisa Ukawa. " hao vibaka mliwaona wapi, hizo fedha walizolipwa mliziona kwa nani, na hizo Pombe walizokunywa mliwanywesha?
Mmeanza kukata mauno hata ngoma bado haijaanza kudunda? Mtachoka mapemaaa. Kama Gazeti ni la kimapinduzi wapeni watu habari zenuu, msiwapotoshe watu kwa vitu walivyovishuhudia.
Niwaulize kidogo.
Hiviii Wizi wa kura katika michakato ya majimboni si habari? Semeni hayo.
Na je Rushwa iliyoota mizizi katika Harakati za uteuzi si habari? Andikeni hiyo
Post a Comment Blogger Facebook